caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura An-Naba النبإ

Aya 40 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 80

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ عَمَّ يَتَسَآءَلُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWanaulizana kuhusu nini?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

عَنِ ٱلنَّبَإِ ٱلْعَظِيمِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKuhusu Ile habari kuu.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

ٱلَّذِى هُمْ فِيهِ مُخْتَلِفُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAmbayo kwayo wanahitalifiana.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

كَلَّا سَيَعْلَمُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterLa! Karibu watakuja jua.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

ثُمَّ كَلَّا سَيَعْلَمُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterTena la! Karibu watakuja jua.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

أَلَمْ نَجْعَلِ ٱلْأَرْضَ مِهَٰدًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwani hatukuifanya ardhi kama tandiko?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَٱلْجِبَالَ أَوْتَادًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa milima kama vigingi?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَخَلَقْنَٰكُمْ أَزْوَٰجًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukakuumbeni kwa jozi?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَجَعَلْنَا نَوْمَكُمْ سُبَاتًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَجَعَلْنَا ٱلَّيْلَ لِبَاسًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukaufanya usiku ni nguo?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَجَعَلْنَا ٱلنَّهَارَ مَعَاشًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًا شِدَادًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَجَعَلْنَا سِرَاجًا وَهَّاجًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukaifanya taa yenye mwanga na joto.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَأَنزَلْنَا مِنَ ٱلْمُعْصِرَٰتِ مَآءً ثَجَّاجًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukateremsha maji yanayoanguka kwa kasi kutoka mawinguni.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

لِّنُخْرِجَ بِهِۦ حَبًّا وَنَبَاتًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterIli tutoe kwayo nafaka na mimea.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَجَنَّٰتٍ أَلْفَافًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa mabustani yenye miti iliyokamatana.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِنَّ يَوْمَ ٱلْفَصْلِ كَانَ مِيقَٰتًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika Siku ya uamuzi imewekewa wakati wake.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

يَوْمَ يُنفَخُ فِى ٱلصُّورِ فَتَأْتُونَ أَفْوَاجًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterSiku litakapopulizwa baragumu, nanyi mtakuja kwa makundi.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَفُتِحَتِ ٱلسَّمَآءُ فَكَانَتْ أَبْوَٰبًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa mbingu zitafunguliwa, ziwe milango.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَسُيِّرَتِ ٱلْجِبَالُ فَكَانَتْ سَرَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِنَّ جَهَنَّمَ كَانَتْ مِرْصَادًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika Jahannamu inangojea!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

لِّلطَّٰغِينَ مَـَٔابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwa walioasi ndio makazi yao.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

لَّٰبِثِينَ فِيهَآ أَحْقَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWakae humo karne baada ya karne.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

لَّا يَذُوقُونَ فِيهَا بَرْدًا وَلَا شَرَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِلَّا حَمِيمًا وَغَسَّاقًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterIla maji ya moto sana na usaha.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

جَزَآءً وِفَاقًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNdio malipo mwafaka.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِنَّهُمْ كَانُوا۟ لَا يَرْجُونَ حِسَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hesabu (juu ya matendo yao).

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَكَذَّبُوا۟ بِـَٔايَٰتِنَا كِذَّابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa wakakanusha Aya zetu kwa nguvu.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَكُلَّ شَىْءٍ أَحْصَيْنَٰهُ كِتَٰبًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

فَذُوقُوا۟ فَلَن نَّزِيدَكُمْ إِلَّا عَذَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi onjeni! Nasi hatutakuzidishieni ila adhabu!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِنَّ لِلْمُتَّقِينَ مَفَازًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika wacha Mungu wanastahiki kufuzu.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

حَدَآئِقَ وَأَعْنَٰبًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterMabustani na mizabibu.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَكَوَاعِبَ أَتْرَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa wake wazuri waliolingana nao.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَكَأْسًا دِهَاقًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa bilauri zilizojaa.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

لَّا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا وَلَا كِذَّٰبًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHawatasikia humo upuuzi wala uongo.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

جَزَآءً مِّن رَّبِّكَ عَطَآءً حِسَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterMalipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

رَّبِّ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا ٱلرَّحْمَٰنِ لَا يَمْلِكُونَ مِنْهُ خِطَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterMola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilivyo baina yake, Arrahman (Mwingi wa rehema); hawamiliki usemi mbele yake!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

يَوْمَ يَقُومُ ٱلرُّوحُ وَٱلْمَلَٰٓئِكَةُ صَفًّا لَّا يَتَكَلَّمُونَ إِلَّا مَنْ أَذِنَ لَهُ ٱلرَّحْمَٰنُ وَقَالَ صَوَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterSiku atakaposimama Roho na Malaika kwa safu. Hawatasema ila yule ambaye Mwingi wa rehema atamruhusu, na atasema yaliyo sawa tu.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

ذَٰلِكَ ٱلْيَوْمُ ٱلْحَقُّ فَمَن شَآءَ ٱتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِۦ مَـَٔابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHiyo ndiyo Siku ya haki. Basi anayetaka, na ashike njia arejee kwa Mola wake Mlezi.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِنَّآ أَنذَرْنَٰكُمْ عَذَابًا قَرِيبًا يَوْمَ يَنظُرُ ٱلْمَرْءُ مَا قَدَّمَتْ يَدَاهُ وَيَقُولُ ٱلْكَافِرُ يَٰلَيْتَنِى كُنتُ تُرَٰبًۢا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika tumekuhadharisheni adhabu iliyo karibu kufika; Siku ambayo mtu ataona yale yaliyotangulizwa na mikono yake; na kafiri atasema: Laiti ningelikuwa udongo!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70