Mwanzo › Sura › Sura Ash-Shams
Sura Ash-Shams الشمس
Aya 15 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 26
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَٱلشَّمْسِ وَضُحَىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Ninaapa kwa jua na mwangaza wake!
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَٱلْقَمَرِ إِذَا تَلَىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Na kwa mwezi unapolifuatia!
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَٱلنَّهَارِ إِذَا جَلَّىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Na kwa mchana unapolidhihirisha!
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَٱلَّيْلِ إِذَا يَغْشَىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Na kwa usiku unapolifunika!
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَٱلسَّمَآءِ وَمَا بَنَىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Na kwa mbingu na kwa aliyeijenga!
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَٱلْأَرْضِ وَمَا طَحَىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Na kwa ardhi na kwa aliyeitandaza!
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَنَفْسٍ وَمَا سَوَّىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Na kwa nafsi na kwa aliyeitengeneza!
Tazama tafsiri zote za aya hii →
فَأَلْهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقْوَىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
قَدْ أَفْلَحَ مَن زَكَّىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Hakika amefanikiwa aliyeitakasa.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَقَدْ خَابَ مَن دَسَّىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Na hakika amehasiri aliyeiviza.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
كَذَّبَتْ ثَمُودُ بِطَغْوَىٰهَآ
Swahili Translation - Rowad Translation Center Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotovu wao.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
إِذِ ٱنۢبَعَثَ أَشْقَىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Aliposimama mwovu wao mkubwa.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
فَقَالَ لَهُمْ رَسُولُ ٱللَّهِ نَاقَةَ ٱللَّهِ وَسُقْيَٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipowaambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمْدَمَ عَلَيْهِمْ رَبُّهُم بِذَنۢبِهِمْ فَسَوَّىٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَلَا يَخَافُ عُقْبَٰهَا
Swahili Translation - Rowad Translation Center Wala Yeye haogopi matokeo yake.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
← Sura Al-Balad
Sura Al-Lail →
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
→
Matini ya Kiarabu na tafsiri kupitia Tanzil na QuranEnc — kama zilivyo, bila kubadilishwa · Tafsiri ni mali ya watafsiri wake na si Qur'ani yenyewe
Hii ni nyenzo ya utafiti, si chanzo cha fatwa.