caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Faatiha الفاتحة

Aya 7 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 5

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

ٱلْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ ٱلْعَٰلَمِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterSifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu.[1]

Tazama tafsiri zote za aya hii →

ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterMwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.[1]

Tazama tafsiri zote za aya hii →

مَٰلِكِ يَوْمِ ٱلدِّينِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterMmiliki wa Siku ya Malipo.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNi Wewe tu tunayeabudu, na ni Wewe tu tunayeomba msaada.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

ٱهْدِنَا ٱلصِّرَٰطَ ٱلْمُسْتَقِيمَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterTuongoe kwenye njia iliyonyooka.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

صِرَٰطَ ٱلَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ ٱلْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا ٱلضَّآلِّينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNjia ya wale uliowaneemesha. Siyo ya wale waliokasirikiwa, wala waliopotea.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70