caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura At-Tin التين

Aya 8 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 28

بِّسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَٱلتِّينِ وَٱلزَّيْتُونِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNinaapa kwa tini na zaituni!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَطُورِ سِينِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa kwa Mlima wa Sinai!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَهَٰذَا ٱلْبَلَدِ ٱلْأَمِينِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa kwa Mji huu wenye amani mno!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

لَقَدْ خَلَقْنَا ٱلْإِنسَٰنَ فِىٓ أَحْسَنِ تَقْوِيمٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBila ya shaka tumemuumba mtu kwa umbo lilio bora kabisa.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

ثُمَّ رَدَدْنَٰهُ أَسْفَلَ سَٰفِلِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKisha tukamrudisha kuwa chini kuliko walio chini!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِلَّا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ فَلَهُمْ أَجْرٌ غَيْرُ مَمْنُونٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterIsipokuwa wale walioamini na wakatenda mema, hao watapata ujira usiokwisha.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

فَمَا يُكَذِّبُكَ بَعْدُ بِٱلدِّينِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi ni kipi baadaye kitakachokukukadhibishia malipo?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

أَلَيْسَ ٱللَّهُ بِأَحْكَمِ ٱلْحَٰكِمِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwani Mwenyezi Mungu si muadilifu zaidi kuliko wote wanaohukumu?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70