caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Aadiyaat العاديات

Aya 11 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 14

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَٱلْعَٰدِيَٰتِ ضَبْحًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNinaapa kwa farasi waendao mbio wakipumua.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

فَٱلْمُورِيَٰتِ قَدْحًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

فَٱلْمُغِيرَٰتِ صُبْحًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWakishambulia wakati wa asubuhi.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

فَأَثَرْنَ بِهِۦ نَقْعًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHuku wakitimua vumbi.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

فَوَسَطْنَ بِهِۦ جَمْعًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa wakijitoma kati ya kundi.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِنَّ ٱلْإِنسَٰنَ لِرَبِّهِۦ لَكَنُودٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika mwanadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَإِنَّهُۥ عَلَىٰ ذَٰلِكَ لَشَهِيدٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَإِنَّهُۥ لِحُبِّ ٱلْخَيْرِ لَشَدِيدٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNaye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

أَفَلَا يَعْلَمُ إِذَا بُعْثِرَ مَا فِى ٱلْقُبُورِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwani hajui watakapofufuliwa waliomo makaburini?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَحُصِّلَ مَا فِى ٱلصُّدُورِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa yakakusanywa yaliyomo vifuani?

Tazama tafsiri zote za aya hii →

إِنَّ رَبَّهُم بِهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّخَبِيرٌۢ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na habari zao wote!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70