caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Az-Zalzala الزلزلة

Aya 8 · Madina · mpangilio wa kuteremshwa 93

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ إِذَا زُلْزِلَتِ ٱلْأَرْضُ زِلْزَالَهَا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterItakapotetemeshwa ardhi kwa mtetemeko wake!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَأَخْرَجَتِ ٱلْأَرْضُ أَثْقَالَهَا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa itakapotoa ardhi mizigo yake!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَقَالَ ٱلْإِنسَٰنُ مَا لَهَا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa mtu akasema: "Ina nini?"

Tazama tafsiri zote za aya hii →

يَوْمَئِذٍ تُحَدِّثُ أَخْبَارَهَا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterSiku hiyo itahadithia habari zake.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

بِأَنَّ رَبَّكَ أَوْحَىٰ لَهَا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwa sababu Mola wake Mlezi ameifunulia!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

يَوْمَئِذٍ يَصْدُرُ ٱلنَّاسُ أَشْتَاتًا لِّيُرَوْا۟ أَعْمَٰلَهُمْ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterSiku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

فَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ خَيْرًا يَرَهُۥ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi anayetenda chembe ya wema, atauona!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَمَن يَعْمَلْ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ شَرًّا يَرَهُۥ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa anayetenda chembe ya uovu, atauona!

Tazama tafsiri zote za aya hii →

Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70