caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Masad المسد

Aya 5 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 6

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ تَبَّتْ يَدَآ أَبِى لَهَبٍ وَتَبَّ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterImeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

مَآ أَغْنَىٰ عَنْهُ مَالُهُۥ وَمَا كَسَبَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHaitamfaa mali yake, wala alivyovichuma.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

سَيَصْلَىٰ نَارًا ذَاتَ لَهَبٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAtauingia Moto wenye mwako mkali.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

وَٱمْرَأَتُهُۥ حَمَّالَةَ ٱلْحَطَبِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa mkewe, mchukuzi mkubwa wa kuni.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

فِى جِيدِهَا حَبْلٌ مِّن مَّسَدٍۭ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterShingoni mwake iko kamba iliyosokotwa sawasawa.

Tazama tafsiri zote za aya hii →

Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70