Sura Al-Humaza الهمزة
Aya 9 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 32
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterOle wake kila anayewakejeli watu kwa ishara na maneno.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
ٱلَّذِى جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُۥ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterAliyekusanya mali na kuihesabu.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُۥٓ أَخْلَدَهُۥ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterAnadhani ya kuwa mali yake itambakisha milele!
Tazama tafsiri zote za aya hii →
كَلَّا لَيُنۢبَذَنَّ فِى ٱلْحُطَمَةِ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterHasha! Hakika atavurumishwa katika Hutwama.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْحُطَمَةُ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa ni nini kitakachokujulisha ni nini Hutwama?
Tazama tafsiri zote za aya hii →
نَارُ ٱللَّهِ ٱلْمُوقَدَةُ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNi Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
ٱلَّتِى تَطَّلِعُ عَلَى ٱلْأَفْـِٔدَةِ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterAmbao unapanda nyoyoni.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
إِنَّهَا عَلَيْهِم مُّؤْصَدَةٌ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika huo utafungwa sawasawa nao wako ndani yake.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
فِى عَمَدٍ مُّمَدَّدَةٍۭ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwenye nguzo zilizonyooshwa.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
→