caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Humaza, Aya 1

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 32 · 104:1

بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterOle wake kila anayewakejeli watu kwa ishara na maneno.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniOle wake kila safihi, msengenyaji!
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70