Sura Al-Fil الفيل
Aya 5 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 19
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ أَلَمْ تَرَ كَيْفَ فَعَلَ رَبُّكَ بِأَصْحَٰبِ ٱلْفِيلِ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyowafanya wale wenye tembo?
Tazama tafsiri zote za aya hii →
أَلَمْ يَجْعَلْ كَيْدَهُمْ فِى تَضْلِيلٍ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwani hakufanya vitimbi vyao kuharibika?
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَأَرْسَلَ عَلَيْهِمْ طَيْرًا أَبَابِيلَ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa akawatumia ndege makundi kwa makundi.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
تَرْمِيهِم بِحِجَارَةٍ مِّن سِجِّيلٍ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterWakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
فَجَعَلَهُمْ كَعَصْفٍ مَّأْكُولٍۭ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterAkawafanya kama majani yaliyoliwa!
Tazama tafsiri zote za aya hii →
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
→