Sura Al-Falaq الفلق
Aya 5 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 20
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلْفَلَقِ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterSema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
مِن شَرِّ مَا خَلَقَ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterKutokana na uovu wa alivyoviumba.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa kutokana na uovu wa giza la usiku liingiapo.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّٰثَٰتِ فِى ٱلْعُقَدِ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa kutokana na uovu wa wanaopuliza mafundoni.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa kutokana na uovu wa mwenye husuda anapohusudu.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
→