Sura Quraish قريش
Aya 4 · Makka · mpangilio wa kuteremshwa 29
بِسْمِ ٱللَّهِ ٱلرَّحْمَٰنِ ٱلرَّحِيمِ لِإِيلَٰفِ قُرَيْشٍ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwa walivyozoea Maqureshi.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
إِۦلَٰفِهِمْ رِحْلَةَ ٱلشِّتَآءِ وَٱلصَّيْفِ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterKuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
فَلْيَعْبُدُوا۟ رَبَّ هَٰذَا ٱلْبَيْتِ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi na wamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
ٱلَّذِىٓ أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍ وَءَامَنَهُم مِّنْ خَوْفٍۭ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterAmbaye anawalisha kutokana na njaa, na anawalinda kutokana na hofu.
Tazama tafsiri zote za aya hii →
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
→