caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Muminoon, Aya 64

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 74 · 23:64

حَتَّىٰٓ إِذَآ أَخَذْنَا مُتْرَفِيهِم بِٱلْعَذَابِ إِذَا هُمْ يَجْـَٔرُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHata tutakapowatia katika adhabu wale waliodekezwa kwa starehe kati yao, hapo ndipo watakapoyayatika.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHata tutakapo watia katika adhabu wale walio dekezwa kwa starehe kati yao, hapo ndipo watapo yayatika.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70