caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anbiyaa, Aya 49

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 73 · 21:49

ٱلَّذِينَ يَخْشَوْنَ رَبَّهُم بِٱلْغَيْبِ وَهُم مِّنَ ٱلسَّاعَةِ مُشْفِقُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAmbao wanamhofu Mola wao Mlezi faraghani, na wanaiogopa Saa ya Kiyama.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAmbao wanamkhofu Mola wao Mlezi faraghani, na wanaiogopa Saa ya Kiyama.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70