caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura At-Tawba, Aya 76

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 113 · 9:76

فَلَمَّآ ءَاتَىٰهُم مِّن فَضْلِهِۦ بَخِلُوا۟ بِهِۦ وَتَوَلَّوا۟ وَّهُم مُّعْرِضُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi alipowapa katika fadhila yake, wakaifanyia ubahili na wakageuka hali ya kuwa wamepeana mgongo.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAlipo wapa katika fadhila yake wakaifanyia ubakhili na wakageuka, na huku wakipuuza.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70