caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Jinn, Aya 18

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 40 · 72:18

وَأَنَّ ٱلْمَسَٰجِدَ لِلَّهِ فَلَا تَدْعُوا۟ مَعَ ٱللَّهِ أَحَدًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa hakika misikiti ni ya Mwenyezi Mungu, basi msimuabudu yeyote pamoja na Mwenyezi Mungu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa hakika misikiti ni ya Mwenyezi Mungu, basi msimuabudu yeyote pamoja na Mwenyezi Mungu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70