caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Qaaf, Aya 33

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 34 · 50:33

مَّنْ خَشِىَ ٱلرَّحْمَٰنَ بِٱلْغَيْبِ وَجَآءَ بِقَلْبٍ مُّنِيبٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterMwenye kumwogopa mno Mwingi wa rehema hali kuwa hamwoni, na akaja kwa moyo uliotubia.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniMwenye kumwogopa Mwingi wa Rehema hali kuwa hamwoni, na akaja kwa moyo ulio elekea
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70