caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Az-Zumar, Aya 62

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 59 · 39:62

ٱللَّهُ خَٰلِقُ كُلِّ شَىْءٍ وَهُوَ عَلَىٰ كُلِّ شَىْءٍ وَكِيلٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterMwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu, na Yeye ndiye Mlinzi juu ya kila kitu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniMwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu, na Yeye ndiye Mlinzi juu ya kila kitu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70