caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Ash-Shu'araa, Aya 35

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 47 · 26:35

يُرِيدُ أَن يُخْرِجَكُم مِّنْ أَرْضِكُم بِسِحْرِهِۦ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAnataka kuwatoa katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAnataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70