caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Maryam, Aya 85

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 44 · 19:85

يَوْمَ نَحْشُرُ ٱلْمُتَّقِينَ إِلَى ٱلرَّحْمَٰنِ وَفْدًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterSiku tutakayowakusanya wacha Mungu kuwapeleka kwa Arrahmani (Mwingi wa rehema) kuwa ni wageni wake.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniSiku tutayo wakusanya wachamngu kuwapeleka kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni wageni wake.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70