caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Maryam, Aya 86

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 44 · 19:86

وَنَسُوقُ ٱلْمُجْرِمِينَ إِلَىٰ جَهَنَّمَ وِرْدًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukawaswaga wahalifu kwenda katika Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70