caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Maryam, Aya 52

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 44 · 19:52

وَنَٰدَيْنَٰهُ مِن جَانِبِ ٱلطُّورِ ٱلْأَيْمَنِ وَقَرَّبْنَٰهُ نَجِيًّا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tulimwitia upande wa kulia wa mlima na tukamsogeza kunong'ona naye.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa tulimwita upande wa kulia wa mlima na tukamsogeza kunong'ona naye.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70