caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Hijr, Aya 56

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 54 · 15:56

قَالَ وَمَن يَقْنَطُ مِن رَّحْمَةِ رَبِّهِۦٓ إِلَّا ٱلضَّآلُّونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAkasema: Na ni nani anayekata tamaa na rehema ya Mola wake Mlezi isipokuwa wapotovu?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAkasema: Na nani anaye kata tamaa na rehema ya Mola wake Mlezi ila wale walio potea?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70