caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Yusuf, Aya 105

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 53 · 12:105

وَكَأَيِّن مِّنْ ءَايَةٍ فِى ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضِ يَمُرُّونَ عَلَيْهَا وَهُمْ عَنْهَا مُعْرِضُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa ni ishara ngapi katika mbingu na ardhi wanazozipitia, lakini wao wanazipuuza.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa ishara ngapi katika mbingu na ardhi wanazo zipitia, na hali ya kuwa wanazipuuza.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70