caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-A'raaf, Aya 191

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 39 · 7:191

أَيُشْرِكُونَ مَا لَا يَخْلُقُ شَيْـًٔا وَهُمْ يُخْلَقُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAti wanashirikisha kisichoumba kitu, hali ya kuwa wao wanaumbwa?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAti wanawafanya viumbe kuwa ni washirika wa Mwenyezi Mungu, nao hawaumbi, bali wao ndio wanaumbwa?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70