caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-A'raaf, Aya 181

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 39 · 7:181

وَمِمَّنْ خَلَقْنَآ أُمَّةٌ يَهْدُونَ بِٱلْحَقِّ وَبِهِۦ يَعْدِلُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa katika wale tuliowaumba wako umma wanaoongoza kwa haki, na kwayo wanafanya uadilifu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa katika tulio waumba wako watu wanao ongoza kwa Haki, na kwayo wanafanya uadilifu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70