caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-A'raaf, Aya 166

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 39 · 7:166

فَلَمَّا عَتَوْا۟ عَن مَّا نُهُوا۟ عَنْهُ قُلْنَا لَهُمْ كُونُوا۟ قِرَدَةً خَٰسِـِٔينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWalipotakabari na kuasi yale waliyokatazwa, tukawaambia, "Kuweni manyani, mliodharauliwa."
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWalipo jifakharisha katika waliyo kanywa tuliwaambia: Kuweni manyani wa kudharauliwa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70