caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Waaqia, Aya 46

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 46 · 56:46

وَكَانُوا۟ يُصِرُّونَ عَلَى ٱلْحِنثِ ٱلْعَظِيمِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa walikuwa wakiendelea tu kufanya madhambi makubwa.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70