caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Waaqia, Aya 47

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 46 · 56:47

وَكَانُوا۟ يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَبْعُوثُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa walikuwa wakisema: 'Tutakapokufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndiyo tutafufuliwa?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70