caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Ar-Rahmaan, Aya 41

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 97 · 55:41

يُعْرَفُ ٱلْمُجْرِمُونَ بِسِيمَٰهُمْ فَيُؤْخَذُ بِٱلنَّوَٰصِى وَٱلْأَقْدَامِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWatajuulikana wahalifu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWatajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70