caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Qamar, Aya 31

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 37 · 54:31

إِنَّآ أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ صَيْحَةً وَٰحِدَةً فَكَانُوا۟ كَهَشِيمِ ٱلْمُحْتَظِرِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika Sisi tuliwatumia ukelele mmoja tu, wakawa kama mabuwa ya kujengea ua.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika Sisi tuliwapelekea ukelele mmoja tu, wakawa kama mabuwa ya kujengea uwa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70