caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Maaida, Aya 102

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 112 · 5:102

قَدْ سَأَلَهَا قَوْمٌ مِّن قَبْلِكُمْ ثُمَّ أَصْبَحُوا۟ بِهَا كَٰفِرِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika, walikwishayauliza kaumu ya kabla yenu, kisha wakawa wenye kuyakufuru.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWaliyauliza hayo watu wa kabla yenu, kisha wakawa wenye kuyakataa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70