caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Jaathiya, Aya 20

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 65 · 45:20

هَٰذَا بَصَٰٓئِرُ لِلنَّاسِ وَهُدًى وَرَحْمَةٌ لِّقَوْمٍ يُوقِنُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHizi ni dalili zilizo wazi kwa watu wote, na ni uongofu na rehema kwa watu wenye yakini.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHizi ni dalili zilizo wazi kwa watu wote, na ni uwongofu, na rehema kwa watu wanao yakinisha.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70