caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Az-Zukhruf, Aya 54

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 63 · 43:54

فَٱسْتَخَفَّ قَوْمَهُۥ فَأَطَاعُوهُ إِنَّهُمْ كَانُوا۟ قَوْمًا فَٰسِقِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi aliwachezea watu wake na wakamtii. Kwa hakika hao walikuwa watu wapotovu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniBasi aliwachezea watu wake, na wakamt'ii. Kwa hakika hao walikuwa watu wapotovu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70