caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Ghaafir, Aya 19

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 60 · 40:19

يَعْلَمُ خَآئِنَةَ ٱلْأَعْيُنِ وَمَا تُخْفِى ٱلصُّدُورُ

Swahili Translation - Rowad Translation Center(Mwenyezi Mungu) anajua hiyana ya macho na yale ambayo vifua vinayaficha.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-Barwani(Mwenyezi Mungu) anajua khiyana ya macho na yanayo ficha vifua.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70