caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura An-Nisaa, Aya 40

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 92 · 4:40

إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَظْلِمُ مِثْقَالَ ذَرَّةٍ وَإِن تَكُ حَسَنَةً يُضَٰعِفْهَا وَيُؤْتِ مِن لَّدُنْهُ أَجْرًا عَظِيمًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika Mwenyezi Mungu hadhulumu hata uzito wa chembe moja. Na ikiwa ni jambo zuri, atalizidisha na atapeana kutoka kwake malipo makubwa.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika Mwenyezi Mungu hadhulumu hata uzito wa chembe moja. Na ikiwa ni jambo jema basi Yeye hulizidisha na hutoa kutoka kwake malipo makubwa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70