caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura An-Nisaa, Aya 41

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 92 · 4:41

فَكَيْفَ إِذَا جِئْنَا مِن كُلِّ أُمَّةٍۭ بِشَهِيدٍ وَجِئْنَا بِكَ عَلَىٰ هَٰٓؤُلَآءِ شَهِيدًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi itakuwa vipi tutakapoleta shahidi kutoka kwa kila umma, na tukakuleta wewe kuwa shahidi dhidi ya hawa?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniBasi itakuwaje pindi tukiwaletea kutoka kila umma shahidi, na tukakuleta wewe kuwa shahidi wa hawa?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70