caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Saad, Aya 72

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 38 · 38:72

فَإِذَا سَوَّيْتُهُۥ وَنَفَخْتُ فِيهِ مِن رُّوحِى فَقَعُوا۟ لَهُۥ سَٰجِدِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa nitakapomkamilisha na kumpulizia roho inayotokana nami, basi muangukieni kwa kumtii.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa nitakapo mkamilisha na kumpulizia roho inayo tokana nami, basi muangukieni kwa kumt'ii.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70