caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Saad, Aya 69

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 38 · 38:69

مَا كَانَ لِىَ مِنْ عِلْمٍۭ بِٱلْمَلَإِ ٱلْأَعْلَىٰٓ إِذْ يَخْتَصِمُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterSikuwa na elimu ya mambo ya viumbe wakuu watukufu walipokuwa wakishindana.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniSikuwa na ilimu ya mambo ya viumbe wakuu watukufu walipo kuwa wakishindana.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70