caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Ankaboot, Aya 43

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 85 · 29:43

وَتِلْكَ ٱلْأَمْثَٰلُ نَضْرِبُهَا لِلنَّاسِ وَمَا يَعْقِلُهَآ إِلَّا ٱلْعَٰلِمُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa hiyo ni mifano tunawapigia watu, na hawaifahamu isipokuwa wenye elimu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa hiyo ni mifano tunawapigia watu, na hawaifahamu ila wenye ilimu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70