caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Ash-Shu'araa, Aya 119

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 47 · 26:119

فَأَنجَيْنَٰهُ وَمَن مَّعَهُۥ فِى ٱلْفُلْكِ ٱلْمَشْحُونِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwa hivyo tukamwokoa yeye na waliokuwa pamoja naye katika marikebu iliyosheheni.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniKwa hivyo tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika marikebu iliyo sheheni.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70