caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Ash-Shu'araa, Aya 118

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 47 · 26:118

فَٱفْتَحْ بَيْنِى وَبَيْنَهُمْ فَتْحًا وَنَجِّنِى وَمَن مَّعِىَ مِنَ ٱلْمُؤْمِنِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi hukumu baina yangu na wao kwa hukumu yako, na uniokoe mimi na walio pamoja nami miongoni mwa Waumini.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniBasi hukumu baina yangu na wao kwa hukumu yako, na uniokoe mimi na walio pamoja nami, Waumini.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70