caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Hajj, Aya 50

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 103 · 22:50

فَٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ لَهُم مَّغْفِرَةٌ وَرِزْقٌ كَرِيمٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi walioamini na wakatenda mema watapata kufutiwa dhambi na riziki za ukarimu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniBasi walio amini na wakatenda mema watapata maghfira na riziki za ukarimu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70