caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anbiyaa, Aya 8

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 73 · 21:8

وَمَا جَعَلْنَٰهُمْ جَسَدًا لَّا يَأْكُلُونَ ٱلطَّعَامَ وَمَا كَانُوا۟ خَٰلِدِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWala hatukuwafanya miili isiyokula chakula, wala hawakuwa wenye kuishi milele.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWala hatukuwafanya miili isiyo kula chakula, wala hawakuwa wenye kuishi milele.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70