caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anbiyaa, Aya 15

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 73 · 21:15

فَمَا زَالَت تِّلْكَ دَعْوَىٰهُمْ حَتَّىٰ جَعَلْنَٰهُمْ حَصِيدًا خَٰمِدِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi hakikuacha hicho kuwa ndicho kilio chao mpaka tukawafanya kama waliofyekwa, wamezimika.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakikuacha hicho kuwa kilio chao mpaka tukawafanya kama walio fyekwa, wamezimika.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70