caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anbiyaa, Aya 16

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 73 · 21:16

وَمَا خَلَقْنَا ٱلسَّمَآءَ وَٱلْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا لَٰعِبِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina ya hivyo kwa mchezo.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yao kwa mchezo.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70