caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Kahf, Aya 97

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 69 · 18:97

فَمَا ٱسْطَٰعُوٓا۟ أَن يَظْهَرُوهُ وَمَا ٱسْتَطَٰعُوا۟ لَهُۥ نَقْبًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi hawakuweza kukikwea, wala hawakuweza kukitoboa.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniBasi hawakuweza kuukwea, wala hawakuweza kuutoboa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70