caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Hijr, Aya 32

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 54 · 15:32

قَالَ يَٰٓإِبْلِيسُ مَا لَكَ أَلَّا تَكُونَ مَعَ ٱلسَّٰجِدِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation Center(Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Iblisi! Una nini hata hukuwa pamoja na waliosujudu?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-Barwani(Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Iblisi! Una nini hata hukuwa pamoja na walio sujudu?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70