caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Yunus, Aya 96

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 51 · 10:96

إِنَّ ٱلَّذِينَ حَقَّتْ عَلَيْهِمْ كَلِمَتُ رَبِّكَ لَا يُؤْمِنُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika wale ambao neno la Mola wako Mlezi limekwishathibitika juu yao, hawataamini.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika wale ambao neno la Mola wako Mlezi limekwisha thibitika juu yao, hawataamini,
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70