caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Muzzammil, Aya 19

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 3 · 73:19

إِنَّ هَٰذِهِۦ تَذْكِرَةٌ فَمَن شَآءَ ٱتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِۦ سَبِيلًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKwa hakika hili ni kumbusho. Mwenye kutaka atashika Njia ya kwendea kwa Mola wake Mlezi.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniKwa hakika hili ni kumbusho. Mwenye kutaka atashika njia ya kwendea kwa Mola wake Mlezi.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70